Wednesday, April 29, 2009

Mbagala: Hii kali zaidi


Vijana hawa walikamatwa maeneo hayo wakijisevia makasha haya kwa kudhani ni kuwa ni dili kwao na hasa ikizingatiwa biashara ya vyuma chakavu ilivyoshamili hapa Bongo Hii ni kwa mujibu wa Bongopicha. Tahadhari iliyotolewa na jeshi katika eneo la tukio ni kuwa, bomu ambalo wanashughulikia lisilipuke ni athali zinazofikia umbali wa km40. Mabomu mengi yamerushwa na kuangukia katika makazi ya watu, baadhi yametoa umbali hadi wa km6, mf eneo la Kurasini, Yombo, Maji matitu na Polisi Ufundi.

Mwingine karipoti haya: Ninaavyoandika kaka mmoja ananipa taarifa huko Temeke Hospital nakofull....watu wanalia na kuna watoto waalioamua kukimbia wamepotea nakama kuna mtu utamwona mtoto amevaa nguo ya shule imeandikwa mbagala kwa nyuma wengi walivaa tshirt jaribu kumsaidia yawezekana hata nauli hawana wengine wameacha mabegi....cha kusikitisha vibaka wanachambua mali za watu kama hawana akili nzuri huko mbagala.....

No comments:

Post a Comment