Tuesday, April 28, 2009

Mtwara-Mwanza Kwa Taxi

Kwa maeneo mengi katika 'barabara ya John Magufuli' kutoka Mtwara hadi Mwanza mambo ni mswanu (safi) baada aya kukamilika kwa kiwango cha lami; lakini eneo hili pekee (picha ya chini)bado ni korofi hapo Manyoni zapata km100 na kitu hivi, huku kukiwa na matumaini kwa vile mkandarasi anaendelea na kazi.
Ikikamilika, ndoto za John Magufuli za kusafiri kwa taksi kutoka Mtwara hadi Mwanza zinaweza kuwa kweli.

No comments:

Post a Comment