Wednesday, April 01, 2009

JK na miaka 20 ya ndoa



Rais Jakaya Kikwete jana alitimiza miaka 20 ya ndoa yake na Salma.
Sherehe hizo za kuadhimisha miaka hiyo 20 ilifanyika Ikulu jana jioni
ambapo keki ilikatwa na wawili hao walilishana keki hiyo kwa bashahi
mbele ya familia na jamaa ya karibu.
Pichani wakikata keki pamoja na ya pili mzee akimlisha mama keki.
Lukwangule inawatakia kila la heri katika familia hii ya kwanza ili
kuweza kuiongoza vyema familia yao na nchi.

chanzo; lukwangule entertainment

No comments:

Post a Comment