Monday, March 30, 2009

Chenge Akiri Kumjua Marehemu Vicky

...Afikishwa Mahakamani Kinondoni

MBUNGE wa Bariadi Magharibi na mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali, Andrew Chenge amekiri kuwa anamfahamu Vicky George Makanya, ambaye ni mmoja wa wanawake wawili waliofariki katika ajali iliyohusisha gari lake mwishoni mwa wiki iliyopita.Habari Kamili. Wakati huo huo, Chenge leo amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka, taarifa zaidi ziko hapa kwa Mzee wa Mshitu

No comments:

Post a Comment