Tuesday, April 28, 2009

Du! Mzee Sumo Aponea Tundu la Sindano


Mzee wa Sumo kapata ajali mbaya huko Lindi, lakini ametoka mzima buheri wa afya. HAPA kaandika mwenyewe kuwa "Jamani wapendwa sijakuwepo kwa muda kwani nilisafiri kwenda Ntwara na jana ndio hii kitu ilinikumba baada ya kubiringika mara kadhaa!!!! Kikubwa ni kwamba bado nipo sijafa. navinjari Lindi ndio nikasema niwasalimu. lakini mchuma tuliokuwa tunasafiria ndio kwisha kazi!

No comments:

Post a Comment