"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, March 05, 2009
Taarifa ya msiba
Mwandishi wa Habari, Michael Uledi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd amefariki dunia asubuhi hii mjini Dodoma. Uledi ambaye alikuwa Mkuu wa Kituo cha Dodoma, alikuwa anaumwa Kifua Kikuu. Mungu aiweke mahali pema peponi
No comments:
Post a Comment