Thursday, March 26, 2009

Ni mgao wa umeme kweli?

ETI Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kutakuwa na mgawo wa dharura wa umeme kwa jiji la Dar es Salaam kwa saa nane (8) zenye mahitqaji makubwa ya umeme kila siku, kutokana na kile walichosema ni kukosa huduma ya mitambo miwili ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Songas. hali hii inajitokeza katikati ya mjadala wa ununuzi wa mitambo ya Dowans na huku ikiwapo kauli ya Tanesco "tukiingia gizani tusilaumiwe" Pata Habari Kamili. Na Tayari ratiba ya mgao huo ukiitaka Isome Hapa.

No comments:

Post a Comment