Thursday, March 26, 2009

Ni Bao la Dunia

Wapo waliowahi kuliona. Lakini ni wachache. Tumezoea kusikia mpira umepigwa kutoka mita 20, 25 au 30 n a kujaa wavuni. lakini hili la Juma Kaseja kutoka ndani ya eneo lake la mita 18 kupiga shuti reeefuuuuu hadi likajaa wavuni upande wa pili, inaelezwa hii iliwahi kutokea tu kwa Essam El-Hadary wa Al Ahly ya Misri, lakini yeye aliupiga kutoka umbali wa mita 70. Bao hilo liliipeleka Yanga kwenye ubingwa ikiwa na mechi kadhaa mkononi. Hapa gazeti hili limeandika kwa kirefu.

No comments:

Post a Comment