Wednesday, March 25, 2009

Aliyeturoga Kashakufa


Nchi maskini za Afrika ikiwamo Tanzania zinaibiwa mabilioni ya fedha kwenye madini kutokana na kutokutoza kodi za kufaa na kutolipwa mrabaha muafaka...Inauma sana. Iko Hapa kwenye Herald Tribune na The Citizen wameinyumbua vilivyo.

No comments:

Post a Comment