Wednesday, March 18, 2009

Mwosha Uoshwa


Aliingia Ikulu kwa njia hii hii. Wananchi wanaandamana bila kikomo hadi Rais anatekuwa madarakani anasalimu amri...Nguvu ya Umma. Nini kimetokea sasa... endelea...Rais wa Madagascar Mark Ravalomanana (kulia) amelazimika kujiuzulu na kukabidhi nchi kwa jeshi la nchi hiyo baada ya sekeseke lililodumu ndani ya taifa hilo kwa muda sasa na baada ya kiongozi...na aliyekuwa kiongozi wa upinzani, Andry Rajoelina (34) (kushoto) kaingia Ikulu. Kusoma zaidi

No comments:

Post a Comment