Tuesday, March 10, 2009

Limeli jizi la samaki


Juhudi za Waziri vitoweo (uvuvi na mifugo) John Pombe Magufuli zimefanikisha kukamatwa kwa meli kubwa ya uvuvi iliyokuwa na tani 70 za samaki katika eneo la Tanzania, kwenye Bahari ya Hindi. Inaelezwa kuwa faini ya kosa hilo ni ama kulipa Tsh 20 bilioni, au meli kutaifishwa au yote mawili kwa pamoja. HABARI KAMILI

No comments:

Post a Comment