Wednesday, March 18, 2009

Deus Malya alamba mvua 3

Wakili wake amwaga machozi

Deus Malya, aliyedaiwa kuendesha lililomuua Chacha Wangwe aliyekuwa mbunge wa Tarime, amepatikana na makosa mawili, kuendesha gari kwa kasi na kusababisha ajali; na kuendesha gari bila leseni.
Kwa kosa la kwanza amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela na mwaka mmoja kwa kosa la pili. Kwa kuwa vifungo hivyo vinakwenda pamoja, Malya atakaa jela kwa miaka mitatu. Hukumu imetolewa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma. (pichani akiwa kizimbani na kulia ni mawakili )

No comments:

Post a Comment