"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, February 19, 2009
Yuko Wapi Sasa
Mama akiwa amembeba mwanae ambaye alizaliwa na ulemavu wa miguu na mikono, mara ya mwisho nilimuona HAPA, sijui kafikia wapi sasa, yeyote mwenye taarifa zake tafadhali.
2 comments:
Mungu anaye yake miujiza, tumuombee
Acha hizo anony4:11 tumuombee bila ulaji, huyu mama awezeshwe kwani hicho kiumbe hakitaweza kujitegemea maishani
Post a Comment