Lucas alifariki usiku wa kuamkia jana saa 7.15 nyumbani kwake Tabata baada ya kuugua na mwili wake kuhifadhiwa katika Hospitali ya Amana.
Blogu ya Miruko inatuma salamu za rambirambi kwa familia yake na wadau wote wa klabu ya Yanga. Mungu ametoa, Mungu ametwaa, Jina lake linarikiwe.
No comments:
Post a Comment