"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Friday, September 26, 2008
Jamaa Anazidi Kuvuta Watu
Imefikia patamu. Masikio ya kila myu ni hatma ya huyu Mjamaa. Swali analojiuliza kila mmoja ni Je, atapatikana na hatia ya mauaji au. Msimamo wangu uko wazi siku zote, sitautoa hapa leo, kwani nitaambiwa 'nimeiingilia' mahakama.
No comments:
Post a Comment