Friday, February 08, 2008

Wawili Wamkataa Pinda

Wabunge wawili wamemktaa Waziri Mkuu. Amepata kura za ndiyo 279. Mbili zilikuwa za Hapana. Moja imeharibika. Jumla ya kura zilikuwa 282. Hivyo, amethibitishwa kwa asilimia 98.9

No comments:

Post a Comment