Friday, February 08, 2008

Kambi Zote Namkubali Pinda

Wabunge wote waliochangia hoja ya uteuzi, Kiongozi wa Upinzani, Hamad Rashid Mohamed, Waziri Mkuu alitepita, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, Spika wa Bunge la Afrika, Getrude Mongela, Mwenyekiti wa UWT, Anna Abdallah, Mbunge Kijana kuliko wote, Zitto Kabwe na Mbunge mzee kuliko wote, John Malecela wameunga mkono uteuzi wa Kikwete. wamesema Mizengo Pinga ni mzoefu na mwadilifu kiasi cha kutosha. Sasa Kura zinapigwa.

No comments:

Post a Comment