"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, February 07, 2008
Nyerere alisema: Nenda Baba Lowassa
Mwalimu Julius Nyerere alitueleza mwaka 1995 kuwa Edward Lowassa hakuwa msafi. Hata mimi nilikuwa naamini kuwa hakuwa msafi. Sasa imedhihirika. Picha hii inamuonyesha akiondoka bungeni kumalizia enzi zake kisiasa. (Picha ya Edwin Mjwahuzi)
No comments:
Post a Comment