"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Saturday, January 19, 2008
Uwanja wa Fisi
imepata kipande hiki cha ardhi ya Manzese na jinsi kinavyoonyesha namna majumbe yalivyoshonana. Mliombali na Dar bila shaka mnayakumbuka maeneo haya, likiwemo eneo maarufu la Uwanja wa Fisi
1 comment:
Nimekutembelea, nimekuta 'umefufuka' kinamna. Unatisha ndugu. Hongera!
Post a Comment