Mapokezi ya Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti dogo lenye mdomo mpana 'Mwanahalisi', Saed Kubenea aliporejea leo kutoka India alipoenda kwa matibabu zaidi baada ya kumwagiwa kimiminika yaweza kuwa 'tindikali', alikali, gongo, alicohol au kemikali nyingine. Akiongea na Waandishi wa habari, baadhi wakishangaa uso (macho) wake
Hapa akiwapungia waliokwenda kumlaki Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere
Hapa akiwapungia waliokwenda kumlaki Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere
No comments:
Post a Comment