Wednesday, January 16, 2008

Kubenea Atoka India


Mapokezi ya Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti dogo lenye mdomo mpana 'Mwanahalisi', Saed Kubenea aliporejea leo kutoka India alipoenda kwa matibabu zaidi baada ya kumwagiwa kimiminika yaweza kuwa 'tindikali', alikali, gongo, alicohol au kemikali nyingine. Akiongea na Waandishi wa habari, baadhi wakishangaa uso (macho) wake

Hapa akiwapungia waliokwenda kumlaki Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere


No comments:

Post a Comment