Thursday, January 17, 2008

Sumu Yaondolewa Korogwe


Hatimaye sumu aina ya DDT iliyokuwa imetelekezwa wilayani Korogwe kwa miaka zaidi ya 30 imeondolewa na kwenda kutupwa 'mahali' ambapo itaharibiwa bila athali za kimazingira

No comments:

Post a Comment