Wednesday, January 09, 2008

Breaking Newssssssss

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Daud Balali ametemeshwa kibarua leo baada ya kubainika ubadhirifu wa Shilingi Bilioni 123 katika akaunti ya madeni ya nje. Bravo Chadema. Bravo Dk Slaa. Bravo JK

No comments:

Post a Comment