"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Wednesday, January 09, 2008
Breaking Newssssssss
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Daud Balali ametemeshwa kibarua leo baada ya kubainika ubadhirifu wa Shilingi Bilioni 123 katika akaunti ya madeni ya nje. Bravo Chadema. Bravo Dk Slaa. Bravo JK
No comments:
Post a Comment