Tuesday, January 08, 2008

Makubwa: KIbaki atangaza Baraza la Mawaziri

Rais Mwai Kibaki wa Kenya amewashangaza wengi jioni hii kwa kutangaza sehemu ya Baraza la Mawaziri wakati juhudi za kimataifa za kuwapatanisha na wapinzani wake zikiendelea. Hata hivyo, tayari mpinzani wake mkuu, Raila Odonga ameshakataa kushiriki katika serikali yake ya umoja wa kitaifa.

Endelea:

President-Mwai Kibaki
Vice President-Kalonzo Musyoka
1. Internal Security – Prof George Saitoti
2. Defence – Yusuf Hajji
3. Special Programmes – Naomi Shaban
4. Public Service - Asman Kamama
5. Finance – Amos Kimunya
6. Education – Prof Sam Ongeri
7. Foreign Affairs – Moses Wetangula
8. Local Government – Uhuru Kenyatta
9. Information and Communications – Samuel Poghisio
10. Water and Irrigation – John Munyes
11. Energy – Kiraitu Murungi
12. Roads and Public Works – John Michuki
13. Science and Technology – Noah Wekesa
14. Justice and Constitutional Affairs – Martha Karua
15. East Africa Cooperation – Dr Wilfred Machage
16. Transport – Chirau Ali Mwakwere

Unaweza kusoma mwenyewe

No comments:

Post a Comment