"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Friday, December 28, 2007
UCHAGUZI KENYA:Upendeleo Katika Picha
Tazama picha hii ya Televisheni ya Kenya (KTN). inaonyesha wazi kuwa Rais wa sasa, KIbaki(kulia) ndiye anastahili kuonekana mkubwa. Anafuatiwa na Raila Odinga wa ODM na Kalonzo Musyoka wa ODM-K
No comments:
Post a Comment