Monday, February 04, 2013

CCM & Chadema: Mchezo ulivyokuwa

SHEREHE za miaka 36 za kuzaliwa kwa CCM jana ziliingia dosari, baada ya kuibuka vurugu kubwa kati ya wafuasi wa chama hicho na Chadema mkoani Dodoma wakati wakigombea eneo na mti wa kutundika bendera za vyama vyao.  HABARI KAMILI

Makada wa vyama hivyo wakibishania kuweka Bendera

Wakinyang'anyana mlingoti

Mbunge Ismail Rage aking'ang'ania mlingoti

Kipigo cha mwisho kwa mfuasi wa Chadema

Polisi wakmimkwida mfuasi wa Chadema

No comments:

Post a Comment