Friday, December 21, 2012

Godbless Lema ashinda rufaa

Lema akishangilia baada ya mahakama ya rufaa kumpa ushindi leo

Wafuatilia wa hukumu ya Lema mahakamani

Polisi wakisindikiza wafuasi wa Lema waliokuwa waondoka mahakamani kwa mguu

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akiwa na Lema na Joshua Nasari wakisubiri hukumu ya rufaa iliyorejesha ubunge wa Lema.




No comments:

Post a Comment