Sunday, March 20, 2011

Askofu Mpya wa Dodoma


Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba mjini Dodoma jana. Kama vile anamuuliza: "Na wewe utakuwa unanilima kama Pengo aliyekusimika?"

1 comment:

emu-three said...

Ok, kazi njema Askofu

Post a Comment