Walimu waadhimisha siku yao leo
Baadhi ya waalimu waliohudhuria sherehe za siku ya mwalimu duniani wakimsikiliza Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete alipowahutubia katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea.Rais Dr.Kikwete alikuwa mgeni ramsi katika maadhimisho hayo kwa mwaliko wa Chama cha Waalimu Tanzania(picha na Freddy Maro)
Baadhi ya waalimu waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani wakiingia kwa maandamano katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea ambapo Rais Dr.Jakaya Mrisho kikwete alikuwa mgeni rasmi na kuwahutubia.
No comments:
Post a Comment