Sunday, October 24, 2010

Dk wa ukweli yuko Dar

Mabere Marando akihutubia. Alitumia fursa hiyo kumnadi Halima Mdee, mgombea ubunge Kawe kupitia CHADEMA

Hapa akihutubia wakazi wa Kawe


Dk. Slaa akisalimia wakazi wa Magomeni kabla ya kuhutubia mkutano mkubwa katika Viwanja vya tangantika Pakers, Kawe Dar es Salaam leo

No comments:

Post a Comment