![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNPrYrMYGmKbF8wZ4Pxe8-4-k98O28sKMoTA4BslOcyWtHH-jKZdWhs1iSwJA93xRE2GmVdRhZhHJTbCaWLQ7TQ-WJD4DDWxd6LXDVjAE5JIyj5I3v6jnOBu4GzLRVgX6z8Foo/s320/kikwete+.jpg)
Siku tatu tangu Rais Jakaya Kikwete akose nafasi ya kulihutubia taifa katika siku ya wafanyakazi, MEI DAY, leo analihutubia taifa kupitia wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam. Yanayotarajiwa;
- Kuelezea kuhusu mkutano wa Uchumi wa Dunia, kuhusu Afrika (WEF)
- Kutangaza kukubaliana/kutokubaliana kati ya serikali na wafanyakazi wa umma, kwenye suala la maslahi
- Kuzidi kuomba chonde chonde kwa wafanyakazi kusitisha mgomo wao walioandaa keshokutwa Mei 5
No comments:
Post a Comment