Monday, October 26, 2009

Lowassa alivyoshiriki Richmond


Nyaraka zaonyesha kila hatua aliweka mikono yake

*Uthibitisho wa kuibeba Richmond watolewa peupe
*Kumbe ndiye aliipora Tanesco kazi ya kusaka mzabuni
*Wizara ya Nishari na Madini ilisubiri maamuzi yake .
*Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Kilio cha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (pichani), bungeni kwamba alidhalilishwa sana kwa kuhusishwa na mkataba tata wa kampuni ya Richmond, si lolote wala chochote baada ya uchunguzi wa kina wa nyaraka uliofanywa na gazeti hili kubaini kwamba alihusika vilivyo katika mchakato mzima wa zabuni hiyo. Source NIPASHE

No comments:

Post a Comment