Tuesday, August 25, 2009

Zitto Kumvaa Mbowe

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zitto Kabwe ameamua kushindana na mwenyekiti wake, Freeman Mbowe kwenye uchaguzi mkuu wa chama hicho mapema mwezi ujao. Zitto ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini tayari amerejesha fomu yake, na inasemekana amesema anataka kushindana na Mbowe ili kukiendelea chama, baada ya uwezo wa mwenyekiti kuishia hapo kilipo.

No comments:

Post a Comment