Tuesday, August 25, 2009

Mshahara wa Spika, Jaji Mkuu maradufu

Serikali imewaongezea mishahara viongozi wa kisiasa, majaji, wakuu wa mikoa na wilaya kuanzia Julai mwaka huu, huku jaji mkuu na spika wakiongezewa maradufu.
Habari za uhakika zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa mshahara wa jaji mkuu na spika, ambao ni viongozi wa mihimili mikuu miwili ya nchi, umepanda kutoka Sh2,760,000 hadi Sh4,850,000 kuanzia Julai na ongezeko hilo ni sawa na asilimia 75.7 Soma zaidi hapa

No comments:

Post a Comment