Sunday, July 05, 2009

Uchaguzi Biharamulo

Wananchi katika Jimbo la Biharamulo Magharibi mkoani Kagera leo wanapiga kura kumchagua mbunge wao baada ya kampeni za uchaguzi huo kukamilika jana huku ushindani ukitarajiwa kuwa mkali kati ya vyama vya Chadema na CCM.

Hawa ndio wagombea

Oscar Mukassa-CCM


Mpeka Buhangaza-TLP

Dk Gervas Mbasa-Chadema


No comments:

Post a Comment