Thursday, June 11, 2009

Bajeti ya Serikali 2009/2010

Ni Bajeti ya Kujihami na Msukosuko wa uchumi, ndivyo Gazeti la Mwananchi limeitafsiri bajeti ya serikali mwaka 2009/10.

Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustapha Mkulo amemaliza kusoma bajeti ya serikali ya Sh9.5 trilioni. Kwa kiwango kikubwa bajeti iliyosomwa leo jana ilichambuliwa na Rais Jakaya Kikwete, hasa katika eneo la kujihami na msukosuko wa uchumi. Kipya alichoeleza ni jinsi ya kupata ongezeko la bajeti kutoka 7.2 trilioni za mwaka 2008/09. Bajeti Kamili Pia Waziri Mkulo aliwasilisha mwelekeo wa Hali ya Uchumi.

No comments:

Post a Comment