Monday, May 11, 2009

"Chadema Kama Tarimeeeeee!"

"Chadema Kama Tarimeeeeee!"Ndivyo anavyoelekea kusema mgombea ubunge wa Chadema katika Jimbo la Busanda, Geita mkoani Mwanza, Phinias Magesa. Inaelekea mikutano ya chama hicho ina wafuasi wengi kuliko vingine; sina uhakika kama wafuasi hao ndio wapiga kura. RSM
zi

No comments:

Post a Comment