Sunday, April 05, 2009

Sababu ya Kupotea


Nilikuwa nimesuasua kidogo. Job ilizidi katika Mkutano wa 22 wa Barza Kuu la Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa-UN-Habitat-GC 22. Mkutano huo ulihudhuriwa wajumbe 797 kutoka katika nchi 104, kati yao wajumbe 500 wakiwakilisha serikali za nchi zao. Waliungana na watu 175 wanaowakilisha Mashirika yasiyo ya kiserikali, 41 kutoka serikali za mitaa na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali duniani. Picha zaidi cheki kwenye Album yangu hapo kulia.

2 comments:

Anonymous said...

Hongera! Naona shavu limekubali.

Ansbert Ngurumo said...

Hongera kwa kazi nzuri.

Post a Comment