Sunday, April 26, 2009

JK Ateua Mtuhumiwa wa Rushwa

Rais Jakaya Kikwete ameteua mtuhumiwa wa rushwa, Anatory Choya (pichani), mwenye kesi katika Mahakama ya Wilaya Biharamulo kuwa DC wa Kishapu, kabla ya kumuapisha kuanza kazi, akashtukia 'kashfa' hiyo, akamtemesha kimya kimya akiwa njiani na familia yake kwenda kuapishwa; hapo hapo akamteua mwingine kuziba nafasi yake Habari Kamili

No comments:

Post a Comment