Friday, March 20, 2009

Rostam: Mwakyembe Mbaguzi

Malumbano kati yao yazua mjadala mpya

Kauli ya Rostam Aziz kuwa Dk Harrison Mwakyembe ameanza ubaguzi kwenye aliyoitoa Mwananchi imepokelwa kwa hisia tofauti, wengi waliojadili suala hilo kwenye Jamii Forum wanashangaa nani mbaguzi kati ya hao wawili...endelea na mjadala hapa. Hayo yote tisa, kumi ni kwamba malumbano yao yamemkera Spika wa Bunge, Samuel Sitta ambaye amesema HAPA kuwa atawaifa kwenye Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Sekeseke halikuishia hapo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Anne Kilango amesema kupitia Nipashe malumbano yao ni makovu ya kashfa ya Richmond.

1 comment:

Anonymous said...

Good blog.
Portugal

Post a Comment