Sunday, March 15, 2009

Kibao cha Mwinyi: Serikali Yazinduka

Sofia Simba (pichani), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora) anayesimamia mashushushu anasema, "Tukio hili limetufedhehesha sana, pia ni aibu kwa taifa, ni lazima tujipange upya.
"Kutokana na tukio hilo tumeamua kuongeza ulinzi katika ziara zote za viongozi wakuu wa kitaifa na kimataifa hapa nchini hasa katika nyumba za ibada." Kujisomea zaidi hapa

No comments:

Post a Comment