"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, September 11, 2008
Eti Ndio Huyu!
Inashangaza: Eti huyu ndiye mgonjwa wa akili aliyewapa kichapo wagonjwa wenzake Muhimbili na kuua wawili na kujeruhi watano. Hapa anatoka mahakamani kesi yake ya mauaji inaposikilizwa.
No comments:
Post a Comment