Friday, February 08, 2008

SERIKALI IMEBAKI NA WATU WAWILI TU


Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali imesalia na viongozi wawili tu. Jakaya Kikwete, Rais na Makamu wake, Dk Ali Mohamed Shein. Basi. Hawa wawili sio wabunge. Bunge limeshindwa kuendelea asubuhi leo bila upande wa serikali. Limesitishwa hadi saa 11.00 jioni. Tunatarajia muda huo Waziri Mkuu Mpya atangazwe. Endelea kusoma hapa.

No comments:

Post a Comment