"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Friday, February 08, 2008
MIZENGO PINDA WAZIRI MKUU
Rais Jakaya Kikwete amemteua Mizengo Peter Kayanza Pinda kuwa Waziri Mkuu. Pinda ambaye ni Mbunge wa Mpanda Mashariki na alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.
No comments:
Post a Comment