Friday, February 08, 2008

MIZENGO PINDA WAZIRI MKUU


Rais Jakaya Kikwete amemteua Mizengo Peter Kayanza Pinda kuwa Waziri Mkuu. Pinda ambaye ni Mbunge wa Mpanda Mashariki na alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

No comments:

Post a Comment