Tuesday, February 12, 2008

Mawaziri 'wapya' Kuapishwa kesho Mchana


Taarifa ya Ikulu:

Baraza Jipya la Mawaziri litaapishwa na Rais Jakaya Kikwete (pichani) kesho Jumatano saa 7.30 mchana Ikulu ndogo ya Chamwino, Dodoma.

Idara ya Mawasiliano Ikulu
Februari 12

No comments:

Post a Comment