Tuesday, February 12, 2008

Mawaziri 17 Wapoteza

* Wamo mawaziri kamili 9, manaibu 7
* Baadhi yao waliomba kupumzika


Mawaziri waliokumbwa na 'panga' hilo
1. Zakhia Meghji (Fedha)
2. Anthony Diallo (Maendeleo ya Mifugo)

3. Basili Mramba (Viwanda, Biashara na Masoko).
4. Joseph Mungai (Mambo ya Ndani)
5. Dk Juma Ngasongwa (Mipango, Uchumi na Uwezeshaji)
6. Kingunge Ngombale-Mwiru (Ofisi ya Rais-Siasa na Uhusiano na Jamii)
7. Dk Ibrahim Msabaha (Ushirikiano wa Afrika Mashariki)

8. Nazir Karamagi (Nishati na Madini).
9. Juma Mwapachu (Usalama wa Raia)

Manaibu mawaziri waliochwa ni
1. Abdissalaam Issa Khatib (Fedha)
2. Ludovick Mwananzila (Elimu na Mafunzo ya Ufundi).
3. Daniel Nsanzugwanko (Habari, Utamaduni na Michezo)
4. Dk Charles Mlingwa (Maendeleo ya Mifugo) na Gaudence Kayombo (Mipango, Uchumi na Uwezeshaji).

5. Ritha Mlaki (Aridhi na Maendeleo ya makazi)
6. Gaudence Kayombo (Mipango, Uchumi na Uwezeshaji)
7. Dk Luka Siyame (Ofisi ya Waziri Mkuu-Maafa)

No comments:

Post a Comment