Saturday, February 16, 2008

Kichaka Aingia Afrika

Bush akiwa na Rais wa Benin, Thomas Boni Yayi

Hapa Joji Kichaka akimbusu mkewe, Laura, baada aya kutunikiwa medali ya heshima ya Benin Akiwa na Rais kwenye zuria jekundu. Hivi nani alipanga mazuria hayo kuwa mekundu duniani pote? Nyuna inaonekana Air Force One
Akikagua jeshi la Benin

No comments:

Post a Comment