Joji Kichaka akutana na akinamama wa Kimasai, KIA, huku mkewe, Laura akiwatazama kwa mshangao
Baada aya Kilio cha Malaria kutoka kwa JK, Bush aalitoa vyandarua milioni 5 kuwasaidia wabongo wasife kwa mbu. Baba ana huruma huyu!

Mama akazawadiwa chandarua na mzee Bush kufaidi joto lake. Walau si haba.
No comments:
Post a Comment