Baraza la JK lapipigwa tena danadana. Taarifa kamili: 
PRESIDENT’S OFFICE,  THE STATE HOUSE,        
P.O.   BOX 9120,          
DAR ES   SALAAM.                
Tanzania.   
            TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI        
Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri leo(12/02/2008) saa 9.00 alasiri katika ukumbi wa TAMISEMI, Dodoma, badala ya saa 4.00 asubuhi kama ilivyotangazwa awali.     Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ukumbini saa 8.00 Mchana na walewenye waandishi wao Dodoma wawaeleze vema ili wazingatie muda.      
Ahsante na karibuni.        
Kurugenzi ya Mawasiliano,  
Ikulu, Chamwino  DODOMA.  
12/02/2008 .
Zipo tetesi za kuingiza wapinzani kutoka Chadema na CUF. Yawezekana kweli ni mpango wake, lakini inawezekana amevujisha makusudi ili kusikia wananchi wanasemaje.
No comments:
Post a Comment