Tuesday, February 12, 2008

Bara la JK Utata

Baraza la JK lapipigwa tena danadana. Taarifa kamili:

PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri leo(12/02/2008) saa 9.00 alasiri katika ukumbi wa TAMISEMI, Dodoma, badala ya saa 4.00 asubuhi kama ilivyotangazwa awali. Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ukumbini saa 8.00 Mchana na walewenye waandishi wao Dodoma wawaeleze vema ili wazingatie muda.

Ahsante na karibuni.

Kurugenzi ya Mawasiliano,
Ikulu, Chamwino DODOMA.
12/02/2008 .

Zipo tetesi za kuingiza wapinzani kutoka Chadema na CUF. Yawezekana kweli ni mpango wake, lakini inawezekana amevujisha makusudi ili kusikia wananchi wanasemaje.

No comments:

Post a Comment