Baraza la JK lapipigwa tena danadana. Taarifa kamili:
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri leo(12/02/2008) saa 9.00 alasiri katika ukumbi wa TAMISEMI, Dodoma, badala ya saa 4.00 asubuhi kama ilivyotangazwa awali. Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ukumbini saa 8.00 Mchana na walewenye waandishi wao Dodoma wawaeleze vema ili wazingatie muda.
Ahsante na karibuni.
Kurugenzi ya Mawasiliano,
Ikulu, Chamwino DODOMA.
12/02/2008 .
Zipo tetesi za kuingiza wapinzani kutoka Chadema na CUF. Yawezekana kweli ni mpango wake, lakini inawezekana amevujisha makusudi ili kusikia wananchi wanasemaje.
No comments:
Post a Comment