Saturday, January 05, 2008

Wapinzani Dar Waitamani Kenya

Mambo kama haya tuliyaona Rwanda mwaka 1994. Sasa yako Kenya. Eeee Mungu Tusaidia

Mabomu. mabomu. mabomu. Hadi lini? Hali kama hii inaweza kujitokeza Dar leo kufuatia maandamano ya wapinzani kupinga serikali ya Kibaki, wakati polisi wamezuia maandamano hao. Taarifa za saa hizi zinasema kwa polisi walioko tayari kwa mapambano wamejikusanya wakisubiri wapinzani wakaidi. Soma zaidi hapa

No comments:

Post a Comment