Wednesday, January 02, 2008

Na Huu Pia Mwaka wa Shetani?

Miaka kadhaa iliuyopita, Kibwetere aliwachoma waumini wake huko Uganda na yeye hajawahi kuonekana. Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari mamia ya waumini waliuawa kanisani. Jana huko Eldoret, Kenya zaidi ya watu 30 walichomwa moto na kuuawa kanisani katika vurugu zinazofuatia kutoridhishwa na matokeo ya uchaguzi.IKO HAPA na HAPA


Elizabeth Wangoi wails near the Kenya Assemblies of God church in Kiambaa, Eldoret, where more than 35 women and children were burnt beyond recognition. The women and children sought refuge there after their homes were burnt in violence over disputed presidential poll results. Photo/JARED NYATAYA

No comments:

Post a Comment